Uingereza: Muda wa mwisho wa uhamishaji Afghanistan ni mwisho wa mwezi huu+++Kundi la kwanza la wakimbizi wa Afghanishan limewasili Uganda asubuhi ya leo+++Kenya- Mzozo wa maneno kati ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto umechukua mkondo mpya baada ya Ruto kushikilia kuwa hatojiuzulu kwa vyovyote +++Marekani na Ulaya zaonya wanajeshi wa Eritrea kuingia Tigray.