1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.08.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S25 Agosti 2021

Mshambuliaji aua watu kadhaa nchini Tanzania/ Kenya na Tanzania zimetia sahihi mikataba mitatu muhimu ya kuboresha mahusiano baina ya mataifa hayo/ Merkel asema jumuiya ya kimataifa lazima ikubali kuzungumza na kundi la Taliban/ Rwanda kuwapokea wakimbizi kutoka Afghanistan/ Algeria imeamua kuvunja mahusiano yake ya kidiplomasia na taifa jirani la Morocco

https://p.dw.com/p/3zUDI