1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.08.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Agosti 2020

Wawakilishi wa ECOWAS na viongozi wa jeshi la Mali washindwa kufikiana jinsi ya kurejesha utawala wa kiraia nchini humo// Tume ya uchaguzi ya Tanzania imeataja majina manne ya wagombea urais// Mkuu wa kukabiliana na ugaidi wa Umoja wa Mataifa,amesema zaidi ya wapiganaji 10,000 wa kundi la IS,bado ni tishio// Heiko Maas anaelekea Uturuki na Ugiriki kutuliza mvutano.

https://p.dw.com/p/3hTmI