Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: WHO imethibitisha zaidi ya visa 900 vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola nchini DR Congo / Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Senegal kumefungua njia kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Ousmane Sonko kugombea uongozi wa Bunge, hatua inayoongeza mvutano kati yake na Rais Bassirou Diomaye Faye