Salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Hosni Mubarak/ Tanzania kuwasilisha ripoti ya haki za binaadamu, Umoja wa Mataifa/ Sudan Kusini- Shirika la Umoja wa mataifa la kuwahudumia watoto duniani (UNICEF) limewaomba wafadhili wa kihisani wachangie dollar million 4.5 mwaka huu 2020 kuwarejesha katika jamii watoto waliokuwa wameandikishwa jeshini/ Marekani kusaidi watoto wenye utapiamlo, Kenya