Davos: Mkutano unaojulikana kama 'Jukwaa la Kiuchumi Duniani' umefunguliwa kwa njia ya video/ Waziri wa Usalama nchini Kenya amekanusha kuwepo kwa hali tete katika mji wa Mandera unaopakana na Somalia> Mahojiano/ Miaka 50 tangu Idi Amin Dada alipoongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Uganda / Mkutanowa kimataifa: Kitisho cha kupotea kwa mbegu za mboga zenye asili ya Afrika