Chama tawala nchini Australia kinakutana kwa ajili ya kumchagua Waziri Mkuu mpya // Mahakama ya Korea Kusini imeirefusha hukumu dhidi ya rais wa zamani wa Korea Kusini Park Guen-hye // Na Afrika Kusini imemshutumu Trump kufuatia kauli alizotoa kuhusu mageuzi ya sera ya ardhi