Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza siku saba za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti, kufuatia kifo cha aliekuwa rais wa awamu ya tatu wa taifa hilo Benjamini William Mkapa// Hisia kutoka Zanzibar kuhusu kifo cha Benjamin Mkapa// Wasifu wa marehemu Benjamin Mkapa// Rais Kenyatta na viongozi wa Kenya wamuomboleza Mkapa.