Tanzania- Serikali ya Tanzania yatoa ratiba ya mazishi ya Benjamin Mkapa. Mkapa alikuwa rais wa Tanzania kati ya mwaka 1995-2005. Amefariki akiwa na umri wa miaka 81// Corona- Trump aahirisha hafla ya Florida kufuatia ongezeko COVID-19// Mchumi maarufu nchini Sudan Kusini Peter Biar Ajak ametorokea Marekani na kusema maisha yake yamo hatarini.