Scholz aizungumzia Ukraine katika ziara yake Afrika Kusini/ Miili 200 ya watu yapatikana mjini Mariupol/ Baraza kuu la ushauri kwa waislamu nchini Kenya KEMNAC, limeitaka Baraza kuu la waislamu nchini SUPKEM kueleza walivyotumia kima cha takriban shilingi millioni hamsini na mbili/ Rwanda imesema kuwa raia wake kadhaa walijeruhiwa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi kutoka Congo