Mataifa kadhaa yameelezea matumaini kuwa ushirikiano wa biashara katika ukanda wa Pasifik utadumishwa, baada ya uamuzi wa Rais Donald Trump kuiondoa Marekani kwenye mkataba huo// Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Syria na upanda wa upinzani yameingia siku ya pili leo nchini Kazakhstan// Rais wa Gambia, Adama Barrow amemteua Fatoumata Jallow-Tambajang kuwa Makamu wa Rais.