Nchini Tanzania kwa sasa mjadala uliopo ni tuhuma zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)), Freeman Mbowe//Kundi la Taliban limesema halitaki kuhodhi madaraka lakini linasisitiza hakutakuwa na amani nchini Afghanistan hadi kuwepo na serikali mpya mjini Kabul na Rais Ashraf Ghani aondolewe