Serikali ya Tanzania imeendelea kukabiliana na wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya corona// Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ya Amnesty International na Human Rights Watch yamesema Iran imetumia nguvu kupindukia dhidi ya waandamanaji//Watu kadhaa wameokolewa kwa kutumia madaraja ya muda leo Ijumaa kutokana na mafuriko katika maeneo ya katikati mwa China