Kenya: Waziri wa Fedha na katibu wake wamekanusha mashtaka ya ufujaji fedha za mabwawa mawili/ Hali ya kisiasa nchini Tanzania/ Beni: Waasi kutoka Uganda wa kundi la ADF wanatajwa kuwauwa raia zaidi ya ishirini katika mashambulizi/ Uingereza kuunda kikosi cha ulinzi Ghuba / Ndege za kivita za Korea Kusini zimefyatua risasi kadhaa za tahadhari dhidi ya ndege za kivita za Urusi