Ujerumani yaandaa kongamano kuhusu Libya/ Bunge Uganda lafungwa wiki mbili kutokana na corona/ Congo: Zawadi ya rais Tshisekedi kwa Wabunge yazuwa gumzo/ Jamii ya kimataifa yataka Afghanistan kuendeleza mazungumzo/ Mkataba wa nyuklia: Iran imeonya kuwa hatua ya Marekani ya kufungia tovuti 33 zinazoendeshwa na vyombo vya habari vinavyohusishwa na Iran sio ya tija kwa mazungumzo yanayoendelea