1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.05.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Mei 2024

Viongozi wa muungano unaoongozwa na Iran, unaofahamika kama "mhimili wa kujihami", akiwemo Ismail Haniyeh wa Hamas, wamefanya mjadala kuhusu vita vya Gaza+++Aliyekuwa Rais wa Iran Ebrahim Raisi anazikwa hii leo nyumbani kwake Mashhad wakati taifa hilo likiendelea kuomboleza

https://p.dw.com/p/4gDIj