Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baadhi ya wakaazi wa mashariki mwa nchi hiyo wanaelezea hofu yao muda mfupi baada ya kuondoka kwa askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa, MONUSCO/ Wiki ya kupambana na ugonjwa wa Malaria