1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.02.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Februari 2024

Imetimia miaka miwili tangu Urusi kuivamia Ukraine+++Idadi ya waliouwawa katika kwa makombora ya Israel kipindi cha masaa 24 katika Ukanda wa Gaza imefikiwa watu 100+++Senegal bado iko kwenye mkwamo wa kisiasa kufuatia hatua ya kuakhirishwa uchaguzi wa rais+++Ofisi ya Haki za Binaadamu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva inasema maelfu ya raia wameshauwa nchini Sudan

https://p.dw.com/p/4coeP