Tanzania leo imezindua kamati ya kitaifa ya uratibu na maridhiano kati ya jeshi la polisi na waandishi habari// Jeshi la Nigeria limesema liko tayari kuwatuma wanajeshi wake katika jimbo la Lagos kuzima maandamano iwapo litahitajika kufanya hivyo//Maambukizi ya virusi vya corona yazua hofu nchini Ujerumani// Marekani yasema itapambana na nchi zozote za kigeni zinazoingilia uchaguzi.