Tanzania: Mohojiano na Zitto Kabwe/ Rais Tshisekedi amekutana na mtangulizi wake kujadili mivutano / Jaji Mkuu Kenya ataka bunge livunjwe kwa kukosekana usawa wa kijinsia/ Waziri wa ulinzi wa zamani wa Mali awa rais wa mpito/ Viongozi wa dunia waadhimisha miaka 75 ya kuundwa UN