1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.08.2019 Matangazo Ya Mchana

SK2 / S02S22 Agosti 2019

Macron amepinga mapendekezo ya Johnson kufungua upya majadiliano ya Brexit, akisema hilo ni suala lisilokuwepo kwa sasa//Makubaliano ya kuondoa uhasama kati ya Rwanda na Uganda yaliyosainiwa na marais wa nchi hizo mbili yameleta afueni na furaha kubwa kwa raia wa nchi hizo

https://p.dw.com/p/3OKJG