Wito wa amani watolewa katika maeneo yenye mizozo Kenya/ Balozi wa Marekani nchini Tanzania amezitembelea kambi za wakimbizi wa Burundi na DRC magharibi mwa Tanzania/ Marais na viongozi wa serikali ulimwenguni wanatarajiwa kuhutubia wiki hii Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko mjini NewYork/ Taliban yawateua manaibu waziri/ Mahakama ya Ulaya yaihusisha Urusi kwenye mauaji ya jasusi