Yametokea makabiliano baina ya polisi wa Israel na Wapalestina karibu na mskiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem// Gavana wa Mombasa nchini Kenya, Hassan Ali Joho, amehukumiwa kifungo cha miezi miwili gerezani au kutoa faini ya shilingi laki mbili unusu// Baa la njaa latishwa nchini Madagascar,Amnesty International lauonya ulimwengu juu ya hali ilivyo kusini mwa nchi hiyo.