Viongozi wakuu wa nchi na serikali duniani wanakutana katika baraza kuu la Umoja wa Mataifa mjini New-York Marekani/ Chadema kimetangaza msimamo wake kuhusu kuendelea na majadaliano na chama tawala CCM/ Kupunguzwa kwa tozo kuna maana gani?/ Uganda yathibitisha mripuko wa ugonjwa wa Ebola