Mahakama ya Rwanda yamkuta Rusesabagina na hatia ya ugaidi. Je, hukumu hii ilitarajiwa?/ BWatu wawili wauawa Burundi kufuatia shambulizi la gruneti/ Human Rights Watch: Mamlaka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo haijapiga hatua katika uchunguzi wa ghasia zilizotokea kwenye gereza kuu la Kasapa huko Lubumbashi mnamo Septemba 2020/ Guterres azirai Marekani na China kurekebisha mahusiano yao