Umoja wa Mataifa: Msaada wa kifedha unahitajika Gaza// Raia wa Lebanon wameyashambulia mabasi na magari madogo yaliokuwa yamewabeba wataalamu wa Syria na raia waliokimbia vita waishio nchini humo, waliokuwa wanaelekea kupiga kura katika ubalozi wa Syria mjini Beirut// Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amebainisha hayo wakati akifungua mkutano wa wa mwaka wa jukwaa la wahariri.