Kongo itafanya uchaguzi siku ya Jumapili ukiwepo uwezekano wa uchaguzi huo kuwa wa kwanza kuleta makabidhiano ya madaraka kwa njia ya kidemokrasi// Wapiga kura kisiwani Madagascar katika bahari ya Hindi wanateremka vituoni hii leo kumchagua rais wao katika duru ya pli ya uchaguzi.