Balaa la kimbunga Idai lawatesa Wamsumbiji/ Tanzania: Maalim Seif Sharif leo amekabidhiwa rasmi kadi ya uwanachama wa chama cha ACT Wazalendo alichojiunga nacho hapo jana/ Zanzibar: Jee, ofisi za chama ni mali ya nani?/ Hali ya kisiasa nchini Kongo/ Mpango wa Brexit wa Theresa May wapata pigo jingine