Zanzibar- Viongozi wa ACT Wazalendo waelezea kauli na wasia wa marehemu Maalim Seif Sharif kabla ya kifo chake// Wakenya 9 kati ya 10 wanasema hali yao ya uchumi itadorora zaidi iwapo ugonjwa wa COVID-19 utaendelea kuenea// Chanjo zaidi ya 11,000 kupelekwa Guinea kukabiliana na ebola// Milio ya risasi imesikika na makombora yamelipuka leo Ijumaa katikati mwa mji wa Mogadishu