Baraza la uongozi la Chama cha Wanasheria Tanganyika limeitaka serikali ya Tanzania kutoa tamko lililonyooka juu ya kuwepo kwa ugonjwa wa COVID-19 na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo nchini humo// Utafiti uliotolewa na Shirika la Twaweza la Afrika Mashariki unaeleza kuwa Wakenya sita kati ya 10 hawana uwezo wa kupata lishe mara tatu kwa siku kutokana na athari za janga la ugonjwa wa COVID-19.