Rais wa kwanza wa Zambia Kenneth Kaunda afariki dunia/ Iran yapiga kura kuchagua rais mpya/ Ethiopia inajiandaa kwa uchaguzi wa bunge la kitaifa/Serikali ya Burunndi imeorodhesha mafanikio ya mwaka mmoja tangu rais Everiste ndayishimiye kuingia madarakani/ Zanzibar yaendelea kuungwa mkono na Serikali ya Ujerumani