Mvutano katika Umoja wa Ulaya unazidi kuongezeka hasa kuhusu oparesheni ya kijeshi katika bahari ya Mediterranea/ Corona: Wataalamu wa afya barani Afrika wanasema bara hilo limejiandaa kukabiliana na maradhi hayo, ingawa bado wanaonyesha wasiwasi.Lakini ni kwa nini wanaonyesha wasiwasi huu?/ Utafiti: Mabadiliko ya tabianchi yataongeza shughuli za kilimo kwa hadi theluthi moja kote duniani