Antonio Guterres amesema itakuwa vigumu kulidhibiti janga la COVID-19 iwapo hakutakuwa na uratibu wa pamoja kimataifa katika vita dhidi ya janga hilo+++EU yaendelea kuiwekea Urusi vikwazo kwa kuichokoza Ukraine+++Mzozo nchini Ethiopia unaendelea kugharimu maisha ya watu kila uchao+++Nchini Kenya raia wametakiwa kuwapa heshima zao watu wenye jinsi mbili, maarufu kwa jina la huntha.