Operesheni za kijeshi jimboni Tigray kuingia awamu ya mwisho/ Kesi dhidi ya Maxence Melo wa jamii Forum zahitimishwa/ Biden: Watu zaidi huenda wakafa Trump asipotoa ushirikiano/ Trump alitaka kuishambulia Iran wiki chache kabla kuondoka madarakani/ WHO limezindua mkakati mpya wa kupambana na kuiangamiza Saratani ya kizazi