1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.06.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Juni 2021

Zanzibar: Masheikh wa UAMSHO wachunguzwa afya+++Rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo, anarejea nchini mwake Alhamisi kwa mara ya kwanza katika kipindi cha takriban muongo mmoja+++Tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC imeelezea hofu ya kuwakataa matokeo ya uchaguzi na kuzuka ghasia baada ya uchaguzi+++Viwango vya migogoro kote duniani vimeongezeka tangu kuzuka kwa janga la virusi vya corona.

https://p.dw.com/p/3v5a4