WHO: Tanzania kuomba kujiunga na mpango wa COVAX+++Uganda imerikodi idadi ya juu ya vifo kutokana na ugonjwa wa Covid-19 tangu kuanza kwa janga hilo+++Kenya- Mwenda Mbijiwe, mshauri wa masuala ya usalama na mchambuzi wetu hapa DW anaripotiwa kutoweka kwa siku tano sasa+++Urusi yapongeza mkutano wa Biden na Putin+++Guterres awakosoa walinda usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati.