DRC yaadhimisha miaka 25 tangu Mobutu alipoondolewa madarakani/ Kongamano la tisa la miji ya Bara Afrika lafanyika Kisumu/
Biden aridhia uwepo wa wanajeshi wa Marekani Somalia/ Urusi imesema wapiganaji wa Ukraine 265 wamejisalimisha chini ya makubaliano yaliofikiwa na Kyiv/ Hezbollah wapata pigo uchaguzi wa Bunge Lebanon