Pompeo aanza ziara ya Afrika nchini Senegal/ Agathon Rwasa ndiye atakaegombea urais kwa upinzani Burundi/ Serikali ya Tanzania imezindua mpango wake wa kipindi cha pili cha awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini nchini humo ujulikanao kama TASAF/ Spika wa bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameanza ziara ya kikazi mashariki mwa Kongo kwa kuwasili mjini Ben