Vikosi vya Ethiopia vyaukomboa mji mwingine mkoani Tigray/ Mazungumzo yaliyosimamiwa na Umoja wa Mataifa yenye lengo la kuteuwa serikali ya mpito nchini Libya ili kukomesha mzozo wa muongo mzima sasa, yamemalizika bila ya kuutaja uongozi wa serikali hiyo/ ASEAN na washirika wengine wasaini mkataba wa kibiashara