Biden na Putin wakutana Geneva/ Mwendesha mashtaka mpya wa ICC aapa kuifufua mahakama hiyo/Masheikh wa Uamsho waachiliwa huru/ Kenya; ukiukaji wa hatua za kudhibiti msambao wa virusi vya Korona Kisumu/ Serikali barani Afrika zimetakiwa kuharakisha juhudi na kuwekeza fedha za kutosha kuhakikisha kuwa watoto wote wanaweza kufaidi fursa ya kupata elimu