Makubaliano ya kusitisha mashambulizi kati ya Israel na wanamgambo wa Gaza yavunjika // Rais wa mpito wa Bolivia asema kiongozi aliyeko uhamishoni Evo Morales hawezi kugombea katika uchaguzi mpya // N vyama vitatu vikuu Lebabon vyakubaliana kumteuwa Mohammad Safadi kuwa waziri mkuu mpya