Bei ya mafuta na petroli nchini Kenya imepanda kwa shilingi 20/ Huko nchini Tanzania, mjadala mkubwa umeibuka kufuatia Spika wa bunge kushauri matukio ya mauaji /Leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya demokrasia/Von der Leyen afanya ziara Kyiv kwa mazungumzo na Zelensky/Rais wa Urusi Vladimir Putin na mwenzake wa China Xi Jinping wamekutana ana kwa ana