Tanzania- Makada wa CCM wewake rekodi ya kuchukuwa fomu za kugombea// Kenya- Wahudumu wa afya katika Hospitali ya wazazi ya Pumwani jijini Nairobi wameanza mgomo baridi, baada ya wafanyakazi wake 41 kuambukizwa virusi vya corona// Wanamgambo wa CODECO wakubali kustisha vita DRC// Rais wa Marekani Donald Trump amesaini sheria ya kuwawekea vikwazo maafisa wa China.