Harakati za uchaguzi mkuu nchini Tanzania na Zanzibar umeanza rasmi leo// Maafisa wa Ofisi ya Upelelezi ya Rwanda (RIB) wamepekua nyumba za wanasiasa wawili wa upinzani, Bi Ingabire Victore na Bwana Ntaganda Bernard, wakikabiliwa na madai ya kuhusika na njama za kigaidi//Shirika la IAEA limeitaka Iran kushirikiana haraka na kikamilifu.