Wapalestina wanakumbuka hii leo kile kinachofahamika kama Nakba au janga, ambayo ni siku lilipoundwa taifa la Israel liliundwa mwaka 1948// Wakati duniani ikiadhimisha siku ya familia hii leo, baadhi ya familia nchini Tanzania bado zinakabiliwa na changamoto ya mila na desturi zenye madhara na ukatili wa kijinsia.