Ujerumani yataka hatua kali kuzuia wimbi la tatu la Corona/ Usugu dhidi ya dawa: Chanzo cha Malaria kuzidi kuenea Afrika/ Nchini Burundi nyumba zaidi ya elfu 5 zilio kwenye mwambao wa ziwa Tanganyika tayari zimevamiwa na maji/ Chama cha mawakili Tanganyika TLS kinatarajia kumchagua Rais wake kwa mujibu wa taratibu za kisheria za chama hicho/ Marekani yawafukuza wanadiplomasia 10 wa Urusi.