Mgombea wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, amesema jeshi limeingia nyumbani kwake na kuchukua udhibiti kamili akiongeza kuwa yumo katika matatizo makubwa// Mkutano wa Umuhimu wa amazi utafanyika Zanzibar// Hofu ya UNHCR kuhusu wakimbizi wa Eritrea nchini Ethiopia.