Mwanasheria mkuu nchini Kenya ameanza rasmi hatua ya kukata rufaa kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kusitisha mchakato wa maridhiano BBI, uliolenga kuibadili katiba kupitia kura ya maoni// Hofu yazidi kuongezeka Israel na Palestina// ndia imeendelea kushuhudia idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya Corona// Waumini wa Dini ya Kiislam nchini tanzania wametekeleza sala ya eid.