CUF: Licha ya uchumi wa Tanzania kuimarika badowananchi wanaishi katika umasikini/ Mozambique: Watu milioni moja wanakabiliwa na njaa/ Majeshi ya Marekani kuondoka Afghanistan Septemba 11/ Ujerumani: Mgawanyiko washuhudiwa ndani ya muungano wa vyama ndugu vya kihafadhina/ Mamilioni ya wanawake duniani wananyimwa uhuru wa kufanya maamuzi juu ya miili yao wenyewe