Mdahalo wa tatu wa wagombea urais wa chama cha Democratic nchini Marekani umefanyika usiku wa kuamkia leo.// Mjumbe mkuu wa Umoja wa Ulaya katika mazungumzo ya Brexit, Michel Barnier aonya kwamba haoni dalili za kupatikana makubaliano kuhusu Brexit. //
Tofauti zakumba mipango ya mazishi ya Robart Mugabe.